KITAIFA
March 01, 2025
69 views 3 mins 0

RAIS SAMIA AIAGIZA WIZARA YA NISHATI KUPITIA MAPITIO YA SERA YA USAFIRISHAJI MAFUTA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *๐Ÿ“Œ Lengo ni kuyafanya makampuni ya usambazaji mafuta upande wa Kaskazini kutumia Bandari ya Tanga.* *๐Ÿ“Œ Asema Serikali imeweka mazingira mazuri ya uwekezaji nchini.* *๐Ÿ“ŒKapinga asema Tanga ni Mkoa muhimu katika sekta ya nishati nchini.* *๐Ÿ“ŒUwekezajiย  huo unaunga mkono na kuchochea matumizi yaย  nishati safi ya kupikia.* Rais wa Jamhuri wa […]

KITAIFA
February 25, 2025
57 views 52 secs 0

UJENZI KITUO CHA KUPOZA UMEME HANDENI KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME- RAIS SAMIA

๐Ÿ“Œ *Kituo  kugharimu  shilingi bilioni 50* ๐Ÿ“Œ *Zaidi ya Shillingi billioni 98 kutekeleza mradi wa gridi imara Kilindi* Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema utekelezaji wa ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Handeni mkoani Tanga  utakapokamilika utaboreha upatikanaji wa umeme katika Wilaya za Handeni  na […]

KITAIFA
February 24, 2025
62 views 30 secs 0

KOROGWE WAIPONGEZA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Ni katika ziara ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Tanga* ๐Ÿ“Œ *Vijiji vyote 118 vyafikishiwa umeme* ๐Ÿ“Œ *Naibu Waziri Kapinga ashiriki ziara.* Wananchi wa Wilaya ya Korogwe wameipongeza Serikali kwa utekelezaji wa miradiย  ya umeme Vijijini ambapo katika wilaya hiyoย  vijiji vyote vimefikishiwa umeme. Pongezi hizo zimetolewa kupitia Mbunge […]

KITAIFA
February 24, 2025
59 views 52 secs 0

RAIS SAMIA ASIKIA KILIO CHA WANANCHI BARABARA YA SONI- BUMBULI-KOROGWE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais, Dkt. Samia  Suluhu Hassan amesikia kilio cha wananchi wa Bumbuli, mkoani Tanga kuhusu ujenzi wa barabara ya Soni – Bumbuli – Korogwe (km 77), kwa kiwango cha lami ambapo ameeleza kuwa ujenzi wa barabara hiyo utajengwa kwa awamu. Akihutubia wananchi wa Wilaya ya Lushoto mkoani humo katika mkutano wa hadhara […]