KOROGWE WAIPONGEZA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐ *Ni katika ziara ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Tanga* ๐ *Vijiji vyote 118 vyafikishiwa umeme* ๐ *Naibu Waziri Kapinga ashiriki ziara.* Wananchi wa Wilaya ya Korogwe wameipongeza Serikali kwa utekelezaji wa miradiย ya umeme Vijijini ambapo katika wilaya hiyoย vijiji vyote vimefikishiwa umeme. Pongezi hizo zimetolewa kupitia Mbunge […]