KITAIFA
February 24, 2025
12 views 30 secs 0

KOROGWE WAIPONGEZA SERIKALI UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Ni katika ziara ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Tanga* ๐Ÿ“Œ *Vijiji vyote 118 vyafikishiwa umeme* ๐Ÿ“Œ *Naibu Waziri Kapinga ashiriki ziara.* Wananchi wa Wilaya ya Korogwe wameipongeza Serikali kwa utekelezaji wa miradiย  ya umeme Vijijini ambapo katika wilaya hiyoย  vijiji vyote vimefikishiwa umeme. Pongezi hizo zimetolewa kupitia Mbunge […]

KITAIFA
February 24, 2025
10 views 52 secs 0

RAIS SAMIA ASIKIA KILIO CHA WANANCHI BARABARA YA SONI- BUMBULI-KOROGWE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais, Dkt. Samia  Suluhu Hassan amesikia kilio cha wananchi wa Bumbuli, mkoani Tanga kuhusu ujenzi wa barabara ya Soni – Bumbuli – Korogwe (km 77), kwa kiwango cha lami ambapo ameeleza kuwa ujenzi wa barabara hiyo utajengwa kwa awamu. Akihutubia wananchi wa Wilaya ya Lushoto mkoani humo katika mkutano wa hadhara […]