ALLY KAMWE:MAMELODI KUKIONA TAREHE 30
DAR ES SALAAM: BAADHI ya wachezaji wa Yanga waliokuwa kwenye kambi ya timu ya taifa โTaifa Starsโ wamerejea nchini kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Taarifa iliyotolewa leo na ofisa habari wa klabu hiyo, Ali Kamwe amewataja wachezaji hao kuwa ni Clement Mzize, Mudathir Yahya na Ibrahim Bacca. โTFF wameruhusu baadhi ya wachezaji […]