MICHEZO
June 15, 2023
480 views 2 mins 0

YANGA SIYO MABINGWA MARA 29/ ACHENI KUPOTOSHA

Vita ya soka haijawahi kuisha nchini kuanzia ndani uwanja mpaka mtaani kwa mashabiki. Maafisa Habari nao hawajawahi kupoa, ‘Ukiufumba na Kufumbua’ unakutana na taarifa kedekede zilizojawa kejeli, majigambo, utani kiasi kuhusu vilabu vyao vyenye mamilioni ya mashabiki nchini. Thabith Zakaria maarufu kama Zaka za Kazi ambaye ni Mkuu wa Idara ya Habari na mawasiliano Azam […]

MICHEZO
May 12, 2023
122 views 21 secs 0

JENGO LA YANGA KUKARABATIWA

Mkurugenzi wa Wanachama wa timu hiyo Haji Mfikirwa anabainisha kuwa Klabu ya Yanga Sc imeingia makubaliano ya ushirika na kampuni ya rangi ya Robbialac kwaajili ya ukarabati wa jengo lao la Makao Makuu yaliyopo mitaa ya Twiga na Jangwani Dar es Salaam.