BIASHARA
July 10, 2024
267 views 3 mins 0

WAZIRI JAFO ABAINISHA MKAKATI WA KUENDELEA KUONGEZA UZALISHAJI SUKARI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo amesema uzalishaji wa sukari kwa Tanzania Bara umeongezeka kwa kiasi kikubwa zaidi ya miaka iliyopita na ili kukidhi mahitaji yaliyopo kupitia kampuni za sukari inatarajiwa kuzalishwa tani 706,000 ifikapo Mwaka 2025/26 Akizungumza jana Julai 10, 2024 kwenye Mkutano wa wazalishaji wa sukari wa […]

BIASHARA, KITAIFA
July 09, 2024
212 views 2 mins 0

VIWANDA VYOTE NCHINI KUFANYA KAZI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt Selemani Jafo amesema atahakikisha viwanda vyote vilivyowekezwa Tanzania anavisimamia ili viendelee kuzalisha na kuchangia uchumi na ajira kwa Watanzania. Dkt. Jafo ameyasema hayo Julai 08, 2024 alipotembelea Kiwanda cha Mbolea cha Itracom Fertilize Limited kilichopo Dodoma ikiwa ni baada ya kuingia ofisini kwake. Alisema jitihada […]

KITAIFA
July 09, 2024
203 views 31 secs 0

KAMILISHENI JENGO LA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA KWA WAKATI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt Selemani Jafo amemuagiza Mkandarasi Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuongeza kasi ya ukamilishaji wa jengo la wizara hiyo kwa wakati. Dkt Jafo aliyasema hayo wakati alipotembelea Jengo la Wizara hiyo kugagua ujenzi unaoendelea mara baada ya kuwasili katika Ofisi za Wizara hiyo Julai […]

KITAIFA
July 09, 2024
223 views 59 secs 0

FUNGENI MKANDA TUKUZE SEKTA YA VIWANDA NA BIASHARA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt Selemani Jafo aliwasisitiza wafanyakazi wa wizara na taasisi zilizochini yake kufunga mkanda kuhakikisha sekta ya viwanda na biashara zinapiga hatua. Dkt. Jafo aliyasema hayo Julai 08, 2024 wakati akiongea na Menejimenti na Watumishi wa Wizara ya Viwanda na Biasharaย  wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu […]

BIASHARA, KITAIFA
July 07, 2024
228 views 3 mins 0

DKT JAFO AAHIDI USHIRIKIANO KWA WAFANYABIASHARA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Saidi Jafo (Mb)  ameihakikishia sekta binafsi hususani  Wafanyabiashara naWawekezaji wa Viwanda kuwa watapata ushirikiano mkubwa  katika kutatua changamoto mbalimbali za kibiashara ili kuhakikisha wanafanya biashara kwa chini ya uongozi wake. Ameyasem hayo Julai 5, 2024,  alipokuwa akizungumza na baadhi ya Taasisi zilizochini ya Wizara yake  zinazofanya kazi […]