KITAIFA
December 12, 2024
113 views 2 mins 0

WAONGOZA WATALII WA SAFARI WAPIGWA MSASA JIJINI ARUSHA

Na. Edmund Salaho/Arusha Waongoza watalii wa safari zaidi ya 750 leo tarehe 12, Decemba 2024 wamepigwa msasa katika semina maalum ikiwa na lengo la kujiandaa na msimu mwingine wa Utalii unaoanza Decemba 2024 hadi Februari 2025. Semina hiyo ya siku mbili inahusisha vyama vya waongoza watalii vya TTGA, NTSGS, TGS, KTGA, IGS, na FGCI imeandaliwa […]

BURUDANI
February 29, 2024
347 views 5 mins 0

DKT BITEKO UTAMADUNI NA UTU WA MTANZANIA USIDHALILISHWE

📌 *Awapongeza Wasanii kwa kutopuuza utamaduni wa Mtanzania* 📌 *Ampongeza Dkt. Samia kwa kuufufua Mfuko wa Utamaduni* 📌 *Ataka Wasanii kuhamasisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Watanzania wana kila sababu ya kulinda utamaduni na utu wao na katu wasiudhalilishe dhidi ya utamaduni wa […]