MICHEZO
April 22, 2025
3 views 26 secs 0

MAGEUZI MAKUBWA YA SANAA KWA KIPINDI KIFUPI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ametoa wito kwa viongozi na jamii kuunga mkono safari ya mageuzi kwenye kazi za sanaa kwani inaleta matumaini makubwa. Mwinjuma ameeleza hayo wakati wa Kikao kazi cha 15 cha Maafisa Utamaduni na Maafisa Maendeleo ya Michezo Tanzania, Aprili 22, 2025 […]