BURUDANI
April 19, 2025
18 views 44 secs 0

SAMIA SERENGETI MUSIC FESTIVAL KUANDIKA HISTORIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema kuwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amerejesha Tamasha la Serengeti Music Festival na sasa linaitwa Samia Serengeti Music Festival ambalo wasanii wote wakubwa watapanda jukwaa moja, litafungwa jukwaa la kihistoria na Tamasha litafunguliwa […]