KAPINGA AFUNGUA KIKAO KAZI TPDC
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Awataka kuyapa kipaumbele masuala ya wafanyakazi. Ataka changamoto ya wafanyakazi kukaimu muda mrefu kufanyiwa kazi Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga leo Septemba 17, 2024 amefungua kikao kazi cha Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Jijini Mwanza. Lengo la kikao hicho ni kujitathmini, kujipanga na kukumbushana masuala mbalimbali […]