KITAIFA
November 05, 2024
158 views 4 mins 0

TANZANIA KUWA MWENYEJI MKUTANO WA KIMATAIFA WA MATUMIZI BORA YA NISHATI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wadau takriban 400 kukutana Arusha* Kuhusisha majadiliano, kubadilishana uzoefu, fursa za uwekezaji* Dkt.Doto Biteko kuwa mgeni rasmi* Ufanisi wa Tanzania Matumizi Bora ya Nishati wapelekea EU kuongeza muda wa ufadhili* Imeelezwa kuwa, Tanzania kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU) na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) na Ubalozi […]

KITAIFA, video
October 30, 2024
128 views 4 mins 0

DKT BITEKO APIGIA CHAPUO UBUNIFU NISHATI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka watendaji na watumishi katika taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati kuwa na umoja, ushirikiano na ubunifu ili kusogeza huduma bora kwa wananchiย  ikiwemo za umeme, mafuta na Nishati Safi ya Kupikia. Kauli hiyo aliitoa jana jijini Dodoma wakati […]

KITAIFA
October 29, 2024
146 views 4 mins 0

DKT BITEKO ATAKA UMOJA, USHIRIKIANO NA UBUNIFU TAASISI ZA NISHATI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema Rais Samia anataka Ubunifu ili kusogeza huduma bora kwa wananchi* Asisitiza utendaji kazi umuangalie Mtanzania wa kawaida anayeitegemea Serikali kubadili maisha* Aagiza kila Taasisi kuwa na Vigezo vya Upimaji Utendaji Kazi* Ataka Watendaji waache alama ya kazi, si kulinda vyeo* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto […]

KITAIFA
October 28, 2024
202 views 6 mins 0

RAIS SAMIA ATAJWA KINARA MAPINDUZI NISHATI SAFI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wizara ya Nishati yawataka wadau wakiwamo Puma Energy kushirikiana na Serikali, kuitafsiri kwa vitendo azma ya Serikali Dkt. Mataragio atoa mwelekeo mpya ufanikishaji wa matimizi ya nishati safi ya kupikia nchini -DAR ES SALAAM WIZARA ya Nishati imetoa rai kwa mashirika na wadau mbalimbali nchini wakiwemo Puma Energy Tanzania kuendelea kushirikiana […]

KITAIFA
October 22, 2024
153 views 3 mins 0

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA UTENDAJI KAZI WIZARA YA NISHATI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Yakoshwa na ETDCO kuongeza ufanisi wa kazi* Kapinga asema Serikali itaendelea kuboresha upatikanaji wa Nishati safi ya Kupikia* Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza kuridhishwa kwake na majukumu yanayotekelezwa na Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake katika kuiimarisha Sekta ya Nishati nchini. Pongezi hizo zimetolewa […]

Uncategorized
October 12, 2024
152 views 53 secs 0

UWT IPO NA RAIS SAMIA UHAMASISHAJI MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA-CHATANDA

Na Mwandishi Wetu MWANAHABARI Nia ni watanzania wengi zaidi watumie nishati safi ya kupikia* Asema UWT itaendelea kuishauri Serikali uwepo ya mitungi ya gesi ya gharama nafuu zaidi* Wanawake na watoto watajwa kuwa waathirika wakubwa matumizi ya nishati isiyo safi* Mwenyekitiwa Jumuiya ya Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Taifa (UWT), Mary Chatanda amesemaJumuiya hiyo itaendelea  […]

KITAIFA
October 10, 2024
178 views 4 mins 0

KAPINGA AIHAMASISHA DUNIA KUSHIRIKI DURU YA TANO YA VITALU VYA GESI ASILIA TANZANIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ni kupitia Mkutano wa Wiki ya Mafuta Afrika* Aeleza jinsi Sheria za Tanzania zinavyowiana na mazingira ya uwekezaji* Asema Tanzania ina miundombinu wezeshi ya usafirishaji bidhaa za mafuta na Gesi Asilia* Aeleza miradi inayotoa hakikisho la uwepo wa umeme wa kutosha* Asisitiza Nishati Safi ya Kupikia ni ajenda ya nchi* Naibu […]

KITAIFA
September 26, 2024
229 views 4 mins 0

DKT BITEKO AZITAKA WIZARA,TAASISI NA WAKALA SERIKALINI KUTENGA BAJETI YA KUTOSHA-SHIMIWI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asema sio wakati wa kutoa visingizio Wasiotuma washiriki watakiwa kujieleza SHIMIWI yalia na kushuka idadi ya vilabu vinavyoshiriki Wizara, Taasisi, Mashirika, wakalaย  za Serikali zimetakiwa kutenga Bajeti ya kutosha kwa ajili ya kushiriki Michezo ya SHIMIWI ili kukidhi malengo na misingi ya kuanzishwa kwa kwa michezo hiyo na kuleta tija. Agizo […]

KITAIFA
September 19, 2024
413 views 9 mins 0

DKT BITEKO AAGIZA KIGOMA KUINGIZWA KWENYE GRIDI KABLA YA 2025

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ataka TANESCO kuongeza kasi utekelezaji miradi ya umeme wa gridi Aagiza majenereta ya umeme wa mafuta Kigoma kuzimwa mwishoni mwa 2024 Azindua ujenzi mradi wa umeme Malagarasi 49.5 MW Atoa neno kuhusu uchaguzi Serikali za Mitaa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme […]

KITAIFA
September 19, 2024
234 views 43 secs 0

RAIS SAMIA KUUFUNGA MKOA WA KIGOMA KIUCHUMI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asisitiza Mkoa wa Kigoma ufunguke kuwa Mwanzo wa Reli Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuipatia Kigoma miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali ili kuufungua mkoa huo kiuchumi. Akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya […]