TANZANIA NA INDONESIA ZAJADILI FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dkt.Mataragio aongoza majadiliano na kampuni ya Pertamina Indonesia* Wajadili uwekezaji katika Nishati Mbadala, Mkondo wa Juu wa Petroli, Uzalishaji mbolea* Timu ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi wa Kuchakata na Kusindika gesi asilia (LNG) imeendelea na ziara yake nchini Indonesia ya kujifunza na kubadilishana uzoefu kuhusu utakelezaji wa miradi ya LNG. […]