UWEZO WA MITAMBO YA KUFUA UMEME WAFIKIA MEGAWATI 3,091.71- MHE.KAPINGA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐ *Wateja wapya 109,918 waunganishiwa na huduma ya umeme nchini* ๐ *Kamati ya Bunge yaipongeza TANESCO kwa kuimarisha Miundombinu ya umeme* Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuwa uwezo wa mitambo ya kufua umeme iliyounganishwa katika mfumo wa Gridi ya Taifa hadi kufikia mwezi Desemba, mwakajana ni jumla ya […]