KITAIFA
June 19, 2024
117 views 3 mins 0

SEKTA BINAFSI MSHIRIKA MKUBWA WA SERIKALI KATIKA KUTEKELEZA AGENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA *📌 Upatikanaji Nishati Safi ya Kupikia kufika hadi ngazi ya Kaya* *📌Asisitiza kuisukuma ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia* *📌Asilimia  80 ya Watanzania  kutumia Nishati Safi ifikapo 2034* *📌Serikali kuendelea kushirikiana na UNCDF NA EU* Imeelezwa kuwa, Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) na Washirika wengine wa Maendeleo wamekuwa msaada mkubwa […]

KITAIFA
June 19, 2024
65 views 2 mins 0

KATIBU MKUU NISHATI AKUTANA NA WAFANYAKAZI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA 📌 *Ahimiza umuhimu wa ushirikishwaji wa Wafanyakazi* 📌 *Awataka Wakuu wa Idara na Vitengo kutoa fursa  kwa Maafisa* 📌 *Asisitiza motisha kwa wanaofanya vizuri* 📌 *Dkt. Mataragio asisitiza ushirikiano na kuzingatia muda* Katibu Mkuu wizara ya  Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba  leo 18 Juni, 2024 amekutana na  Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati  […]

KITAIFA
June 17, 2024
60 views 6 mins 0

WAFUGAJI NCHINI WATAKIWA KUFUGA KISASA KULETA MAENDELEO

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA 📌 Dkt. Biteko aagiza Wizara ya Mifugo kuendelea kutoa elimu ufugaji wa kisasa 📌Wafugaji wahimizwa kushiriki maonesho ya mifugo kuboresha ufugaji wao 📌 Wafugaji  na wakulima waaswa kuondokana na migogoro 📌 Wafugaji watakiwa kutumia Maafisa Ugani kwa ufugaji wa tija *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu […]

KITAIFA
June 12, 2024
190 views 3 mins 0

RAIS SAMIA AFUNGUA NCHI KIMATAIFA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA *📌 Diplomasia ya Kiuchumi yainadi Tanzania kimataifa* *📌 Marekani yasaka fursa uwekezaji Sekta ya Nishati* *📌 Dkt. Biteko ataja maono ya Rais Dkt. Samia kiini cha ujio wa wawekezaji* *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Doto Biteko amekutana na […]

KITAIFA
June 12, 2024
74 views 3 mins 0

TANZANIA KUENDELEA KUTOA KIPAUMBELE VYANZO MBADALA VYA UMEME

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA 📌 *Lengo ni kujihakikishia umeme wa kutosha na uhakika 📌 * Dkt. Biteko akutana na wadau wa chemba ya wafanyabiashara wa Ujerumani na wadau wa nishati 📌 Aiomba Ujerumani kuendelea kufadhili miradi ya nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati  Mhe. Dkt Doto Biteko,ameieleza jumuiya ya wafanyabiashara wa ujerumani  na […]

KITAIFA
June 07, 2024
54 views 27 secs 0

DKT BITEKO AIAGIZA TANESCO KUJENGA LAINI MPYA YA UMEME USHIROMBO

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kujenga laini mpya ya Umeme kutoka Nyakanazi-Ushirombo  na Kahama Bongwe hadi Bukombe ili kuhakikisha hali ya upatikanaji wa umeme katika  Wilaya ya Bukombe inaimarika. Dkt, Biteko ametoa agizo hilo wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa […]

KITAIFA
May 31, 2024
64 views 5 mins 0

DKT BITEKO AZINDUA KITUO CHA KUPOZA UMEME IFAKARA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA 📌 *Kuimarisha upatikanaji umeme Kilombero, Ulanga na Malinyi* 📌 *Kuchochea viwanda vya uongezaji thamani Mazao, Madini* 📌 *Asema Serikali inachukulia kwa uzito mkubwa suala la upatikanaji wa Nishati* 📌 *Asisitiza Umeme si anasa, ni jambo la lazima* 📌 *Aishukuru EU kuunga mkono miradi ya Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa […]

KITAIFA
May 23, 2024
55 views 42 secs 0

DKT BITEKO MGENI RASMI MKUTANO WA KITAALUMA WA MAKATIBU MAHSUSI TANZANIA

Mkutano wa Kumi na Moja wa Kitaaluma wa Makatibu Mahsusi Tanzania unafanyika leo, Mei 23, 2024 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Mgeni rasmi ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko. Mkutano huo ulioanza Mei 20, 2024, utahitimishwa Mei 25, 2024 unalenga kuimarisha utendaji kazi wa watumishi wa kada […]

KITAIFA
March 28, 2024
147 views 5 mins 0

DKT BITEKO AAGIZA KUVUNJWA KWA BODI YA ETDCO

Menejimenti  ETDCO nayo isukwe upya* Ni kufuatia Wizi, Utendaji mbovu na kusuasua kwa miradi* Awataja baadhi ya Watumishi wanaohusika na vitendo hivyo* Waliobainika kufanya wizi hatua za kisheria zachukuliwa dhidi yao* Atoa onyo kwa wanaotumia vifaa vya TANESCO kufanya biashara ya vyuma chakavu* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza […]

KITAIFA
March 28, 2024
121 views 5 mins 0

DKT BITEKO AAGIZA KUVUNJWA KWA BODI YA ETDCO

Menejimenti  ETDCO nayo isukwe upya* Ni kufuatia Wizi, Utendaji mbovu na kusuasua kwa miradi* Awataja baadhi ya Watumishi wanaohusika na vitendo hivyo* Waliobainika kufanya wizi hatua za kisheria zachukuliwa dhidi yao* Atoa onyo kwa wanaotumia vifaa vya TANESCO kufanya biashara ya vyuma chakavu* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza […]