KITAIFA
March 05, 2025
60 views 6 mins 0

DKT.MPANGO ATAKA AFRIKA  KUBUNI NJIA BORA UENDELEZAJI RASILIMALI ZA NISHATI ILI KUKIDHI MAHITAJI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Asema upatikanaji wa Nishati Afrika bado ni mdogo kulinganisha na Mabara mengine* ๐Ÿ“Œ *Asisitiza uendelezaji wa vyanzo vya Nishati uzingatie mustakabali wa vizazi vijavyo* ๐Ÿ“Œ *Afungua Kongamano na Maonesho ya Petroli kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAPCEโ€™25)* Makamu wa Rais, Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango amesema kuwa matumizi ya nishati katika […]

KITAIFA
March 05, 2025
42 views 3 mins 0

DKT. BITEKO AWATAKA WANAWAKE KUWA MABALOZI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ Serikali kuwezesha Sera, Sheria kwa wawekezaji wa Nishati Safi ya kupikia ๐Ÿ“Œ Ahamasisha matumizi ya Nishati ya Safi ya kupikia nchini ๐Ÿ“ŒAmpongeza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kwa kuunganisha watumiaji Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wanawake kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia, ili kuhakikisha […]

KITAIFA
March 04, 2025
53 views 8 mins 0

AFRIKA TUNAYAPA KIPAUMBLE MATUMIZI YA NISHATI SAFI ILI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI-DKT.BITEKO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Asema Sera na Sheria zinazowekwa zinahimiza matumizi ya Nishati Safi* ๐Ÿ“Œ *Afungua Mkutano wa Awali EAPCE’25* ๐Ÿ“Œ *Ataka utumike kujadili na kuweka mipango itakayowezesha matumizi ya Nishati Safi* ๐Ÿ“Œ *Ataka mkazo kuwekwa kwenye Nishati Safi ya Kupikia kwani matumizi ya kuni na mkaa bado ni makubwa* Naibu Waziri Mkuu na […]

KITAIFA
March 02, 2025
58 views 25 secs 0

VIJANA WA KIKE FEDHA MNAZOPATA MZITUMIE PIA KATIKA UWEKEZAJI- MKURUGENZI UTAWALA NISHATI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Asema inaongezaย  kujiamini* ๐Ÿ“Œ *Asema Wizara ya Nishati inaiishi kaulimbiu yaย  Siku ya Wanawake Duniani 2025* Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati,ย  Bi. Zianaย  Mlawa ametoa rai kwa Vijana wa Kike kuwa fedha wanazopata watumie pia katika kufanya uwekezaji hali itakayowajengea uwezoย  kujiamini zaidi ikiwemo katika maeneo […]

KITAIFA
February 26, 2025
75 views 3 mins 0

KUPITIA KONGAMANO LA PETROLI LA EAC TUNATAKA NISHATI YA PETROLI IWE INJINI YA MAENDELEO – DKT.MATARAGIO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Tanzania kuchimba visima vya utafutaji Mafuta Eyasi Wembere* ๐Ÿ“Œ *CNG kufika hadi kwenye mikoa ambayo haijafikiwa na Bomba la Gesi* Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt.James Mataragio amesema Kongamano na Maonesho ya Petroliย  ya Afrika Mashariki ( EAPCE’25 ) ambayo yatafanyika Machi 5 hadi 7 mwaka huu jijini […]

KITAIFA
February 26, 2025
72 views 16 secs 0

SERIKALI IMEIMARISHA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA UONGOZI NA SHUGHULI ZA KIUCHUMI-KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani atoa wito wa kushikamana* Naibu Waziri Nishati,  Mhe. Judith Kapinga amesema kuwa Serikali imeboresha mazingira ya wanawake nchini ili waweze kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kiuchumi, maendeleo ya Tanzania na kushika nafasi za uongozi. Mhe. Kapinga ameyasema hayo alipokuwa akielezea nafasi ya mwanamke katika kuelekea […]

KITAIFA
February 23, 2025
48 views 43 secs 0

WAKANDARASI WASIMAMIWE KUTEKELEZA MIRADI YA NISHATI KWA WAKATI – KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“ŒAagizaย  wasimamiwe kwa karibu kumaliza miradi ๐Ÿ“ŒAwataka Watendaji TANESCO kuwa na mahusiano mazuri na wananchi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewataka watendaji wa Sekta ya Nishati kuwajengea uwezo watoa huduma wanaotekeleza miradi mbalimbali ya sekta ya nishati nchini. Hayo ameyasema leo Februari 23, 2025 na Kapinga wakati akizungumza na […]

KITAIFA
February 16, 2025
66 views 3 mins 0

DKT. BITEKO AWAHIMIZA WATANZANIA KULIOMBEA TAIFA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Asema amani ya nchi ilindwe kwa wivu mkubwa* ๐Ÿ“Œ*Asisitiza uchaguzi Mkuu wa Oktoba usiligawe Taifa* ๐Ÿ“Œ*Asema Watanzania waendelee kumuombea Rais Samia kwa kazi nzuri anazofanya* ๐Ÿ“Œ *Serikali kuboresha mipango yake kulingana na mahitaji ya dunia* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa Watanzania […]

KITAIFA
January 30, 2025
134 views 3 mins 0

DKT. BITEKO AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MIILI YA WANAFUNZI  WALIOFARIKI KWA RADI GEITA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ Rais Samia atuma salamu za pole, agharamia misiba na mazishi ๐Ÿ“Œ Mkuu wa Wilaya Bukombe aishukuru Idara ya Afya kwa juhudi za maokozi ๐Ÿ“Œ Viongozi wa dini wahimiza uvumilivu na uhimilivu kipindi cha majonzi Leo Januari 30, 2025 mkoani Geita, maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kuaga miili ya wanafunzi saba wa […]

KITAIFA
January 21, 2025
89 views 17 secs 0

MIUNDOMBINU YA KUSAMBAZA UMEME NI YA MUDA MREFU – DKT. BITEKO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“ŒAsema ilijengwa wakati mahitaji yakiwa kidogo ๐Ÿ“ŒVijiji vyote vimefikiwa na umeme Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,ย  Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema miundombinu iliyopo ya kusambaza umeme ni ya muda mrefu na Serikali tayari imeshaanza kazi ya kuibadilisha. Dkt. Biteko ameyasema hayo wakati akiwa katika kipindi cha dakika 45 ITV […]