KITAIFA
July 26, 2024
60 views 2 mins 0

DKT BITEKO SHUGHULIKA NA WANAOKUPENDA SIO KUKWAMISHANA

Na Anton Kiteteri WAMACHINGA Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa nishati Daktari Dotto Biteko ametoa rai kwa wananchi kushirikiana na kuheshimiana na viongozi wao ili kuwapa nafasi ya katimiza wajibu wao wa kuwaletea maendeleo badala ya kukwamishana. Dk. Biteko ametoa wito huo wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Msangila,kata ya Runzewe magharibi,wilaya ya Bukombe,mkoa […]

KITAIFA
July 24, 2024
62 views 2 mins 0

DKT BITEKO AWATAKA VIONGOZI KUSHIRIKIANA KUCHOCHEA MAENDELEO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Awataka kuwajenga wananchi sio kuwagawa* Asema Rais Samia amerahisisha upatikanaji wa maendeleo* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka viongozi kushirikiana na kuheshimiana ili kuchochea maendeleo ya watu na sio kukwamisha maendeleo Dkt. Biteko amesema hayo wakati akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji […]

KITAIFA
July 23, 2024
58 views 4 mins 0

ZIARA YA DKT BITEKO BUKOMBE YAWAKOSHA WAKAZI KATA NAMONGE

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waipongeza Serikali ya Rais Samia kuboresha huduma za jamii* Waomba kujengewa Barabara kusafirisha mazao* Dkt. Biteko aagiza kukamilishwa, kutumika Zahanati Kijiji Ilyamchele* Awahakikishia ukarabati wa Barabara ipitike nyakati zote* Wananchi wa Kijiji cha Ilyamchele, Kata ya Namonge Wilayani Bukombe wameipongeza Serikali kwa kuboresha huduma mbalimbali za jamii katika Kata hiyo huku […]

KITAIFA
July 08, 2024
65 views 3 mins 0

DKT MPANGO AIPONGEZA WIZARA YA NISHATI KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI YA NISHATI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Ampongeza Dkt. Biteko kwa kuiongoza vyema Wizara na TANESCO kwa utekelezaji wa miradi* Akagua vituo vya kupoza umeme Nguruka na Kidahwe* Aagiza ifikapo Septemba Kigoma iwe imeingia kwenye Gridi ya Taifa* Kapinga asema Wizara haitakuwa kikwazo cha wananchi kupata umeme wa uhakika* Makamu wa Rais, Mhe. Dkt Philip Isdor Mpangoย  ameipongeza […]

KITAIFA
July 06, 2024
39 views 4 mins 0

VYAMA VYA USHIRIKA VYATAKIWA KUBORESHA HUDUMA KWA WANAUSHIRIKA

Dkt. Biteko azitaka Kampuni za ushirika kurejesha rasirilimali kwa jamii Maafisa ushirika watakiwa kutengeneza Sura ya Ushirika Benki ya Ushirika wa mazao kuanzishwa Watanzania wanahimizwa kujisajili kwenye Bima ya mazao Serikali imetoaย  bilioni 13 ruzuku kwa wakulima wa Tumbaku *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa […]

KITAIFA
July 03, 2024
47 views 3 secs 0

DKT BITEKO:SERIKALI ITAENDELEA KUSIMAMIA,KUKUZA UADILIFU WA MAADILI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Azitaka taasisi za dini kushirikisha Serikali kusimamia maadili Wizara ya Maendeleo ya Jamii Shirikisheni wadau Azitaka taasisi za umma na Serikali kuwa mfano bora kwenye jamii kuhusu maadili Asisitiza maadili kupewa kipaumbele katika Mtaala wa Elimu Serikali itaendelea kusimamia na kukuza uadilifu wa maadili kama msingi wa maendeleo endelevu kupitia Sera […]

KITAIFA
June 28, 2024
52 views 3 mins 0

DKT BITEKO KAZI ZA UJENZI ZIFANYIKE KWA UBORA NA UZALENDO

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Heshimuni matumizi ya fedha za miradi* Wizara iwasaidie vijana kuanzisha kampuni na kuwapatia kazi ndogo ndogo ili kuwajengea uzoefu* Makandarasi wazawa kupewa kipaumbele katika malipo ya kazi walizofanya* Wakandarasi wanawake wapongezwa* ๐Ÿ“Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Makandarasi nchini kutekeleza miradi ya […]

KITAIFA
June 27, 2024
74 views 3 mins 0

DKT BITEKO KUKUMBATIA TAMADUNI ZA KIGENI NI HATARI KWA MAENDELEO YA NCHI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Asema ni chanzo cha mmomonyoko wa maadili* Ahusisha na ukatili wa kijinsia na mauaji ya Albino* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuzingatia utamaduni wao na katu wasiendekeze utamaduni wa kigeni kwan kwa kufanya hivyo ni sawa na kuuza uhuru wao kama nchi. Dkt. […]

KITAIFA
June 27, 2024
98 views 35 secs 0

KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI AKUTANA NA UJUMBE WA UMOJA WA ULAYA (EU)

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Wajadiliย  Mradi waย  Maboresho Sekta ya Nishatiย  _(Energy Sector Reformย  Programme) Serikali yaeleza ilivyotimiza masharti ya EU ili kupata fedha za Maboresho ya Sekta ya Nishati Dar es salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmiย  Mramba leo 26 Juni, 2024,ย  amekutana na kufanya mazungumzo naย  Ujumbe kutokaย  Umoja wa […]

KITAIFA
June 24, 2024
95 views 6 secs 0

DKT. BITEKO AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA MODERN INDUSTRIAL PARK

Asisitiza Serikali itaendelea kushirikiana na wawekezaji Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na wawekezaji wa Modern Industrial Park wanaomiliki kongani ya viwanda eneo la Kibaha, Mkoani Pwani. Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 24 Juni, 2024 katika ofisi za Naibu Waziri Mkuu Bungeni, jijini Dodoma. Aidha, Dkt. […]