MKANDARASI ATAKIWA KUHARAKISHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UMEME WA JUA KISHAPU
Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Amtaka Meneja kuhakikishaย anawasimamia vema mkandarasi Mradi kuleta tija kwenye upatikanaji wa Umeme Kishapu, Shinyanga Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga ameridhishwa na hatua mbalimbali za maendeleo katika upatikanaji wa huduma ya Umeme mkoaniย Shinyanga huku akimsisitiza mkandarasi mradi wa umeme wa Jua wilaya ya […]