KITAIFA
April 08, 2025
23 views 3 mins 0

KAPINGA ASEMA  KAZI YA  KUPELEKA UMEME KWENYE MIGODI MIDOGO INAENDELEA

๐Ÿ“Œ *Wachimbaji wa chumvi pia wafikiwa* *๐Ÿ“Œ Wananchi Kibiti wampongeza Rais Samia kwa mradi wa umeme wa zaidi ya shilingi Bilioni 3.8.* *๐Ÿ“Œ Kituo cha umeme Uhuru wilayani Urambo chakamilika* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea na utekelezaji wa miradi ya kupeleka umeme kwenye maeneo […]

KITAIFA
April 05, 2025
35 views 3 mins 0

MRADI WA KUFUA UMEME WA JNHPP WAKAMILIKA RASMI: DKT BITEKO
ย 

ย ๐Ÿ“ŒAsema ni ndoto ya watanzania,awataka wategemee umeme wa uhakikaย ๐Ÿ“ŒAsisitiza kazi iliyobaki ni kuimarisha miundombinu ya kuwafikishia wananchi umemeย ๐Ÿ“ŒRais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Misri kuuzindua rasmiย Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kutegemea kupata umeme wa uhakika baada ya Mradi wa kufua umeme kutoka Bwawa la Julius […]

KITAIFA
March 25, 2025
35 views 3 mins 0

BITEKO AVUTIWA UTEKELEZAJI WA ‘ LOCAL CONTENT’ EACOP

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt.Dotto Biteko ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuwa Serikali inafurahishwa na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kutoa kipaumbele cha fursa za ajira kwa Watanzania kupitia utekelezaji wa Sera ya kuwawezesha wazawa ( Local Content). […]

Uncategorized
March 22, 2025
33 views 3 mins 0

BARAZA LA SABA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA NISHATI LAKUTANA DODOMA

*๐Ÿ“Œ Dkt. Kazungu asema Wizara itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati.* *๐Ÿ“Œ Baraza lapitisha rasimu ya bajeti ya 2025/2026 .* ๐Ÿ“Œ Hoja za TUGHE zajadiliwa kwa kina na kupatiwa ufumbuzi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu leo Machi 22, 2025 amefungua Baraza la saba la Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati ambalo limepitia […]

KITAIFA
March 21, 2025
29 views 57 secs 0

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAPONGEZA UJENZI WA JENGO LA WIZARA YA NISHATI – MTUMBA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *๐Ÿ“ŒUjenzi wafikiaย  94%* *๐Ÿ“DODOMA* Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati katika mji wa Serikali Mtumba na kuipongeza Wizara kwa hatua ya ujenzi iliyofikiwa kwa asilimia 94. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. David Mathayo amesema hayo tarehe 20 Machi 2025, wakati […]

KITAIFA
March 21, 2025
34 views 4 mins 0

WIZARA YA NISHATI YATAJA MAFANIKIO UTEKELEZAJI MAJUKUMU 2024/2025

๐Ÿ“Œ *Uzalishaji umeme waongezeka kwa asilimia 59.9* ๐Ÿ“Œ *Misheni 300 kuongeza  upatikanaji  umeme kwa asilimia 100 ifikapo  2030.* ๐Ÿ“Œ *Serikali yaokoa sh.i bilioni 58.4 kwa kuunganisha Kigoma na gridi ya Taifa.* ๐Ÿ“Œ *Upatikanaji  bidhaa za mafuta umeendelea kuwa wa uhakika* Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa […]

KITAIFA
March 21, 2025
32 views 2 mins 0

UFUNDI STADI UMEPEWA KIPAUMBELE NA SERIKALI – DKT. BITEKO

๐Ÿ“Œ Asisitiza kuwa, Rais Samia anajenga vyuo kila wilaya nchini ๐Ÿ“ŒApongeza utoaji wa mafunzo na ujuzi kuendana na teknolojia ya kisasa ๐Ÿ“ŒMakundi maalumu kupewa kipaumbele ๐Ÿ“ŒAsema VETA itakuwa msingi kwa malezi ya watoto na Vijana Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeamua kuwekeza kwenye ufundi ili Watanzania […]

KITAIFA
March 20, 2025
41 views 2 mins 0

TANZANIA NA MISRI KUENDELEZA USHIRIKIANO KWENYE MIRADI YA UMEME -KAPINGA

*๐Ÿ“ŒWaziri wa Mambo Nje  Misri atembelea Bwawa la Julius Nyerere* *๐Ÿ“ŒAsifu hatua za Rais  wa Tanzania na Misri kusimamia  utekelezaji wa mradi* *๐Ÿ“ŒMradi wafikia asilimia 99.89* *๐Ÿ“RUFIJI* Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga, amesema Tanzania na Misri zitaendeleza ushirikiano  kwenye utekelezaji wa miradi ya umeme na kudunisha ushirikiano uliowekwa na waasisi wa nchi hizo. […]

KITAIFA
March 19, 2025
38 views 2 mins 0

MRADI WA TAZA MBIONI KUKAMILIKA – KAPINGA

๐Ÿ“Œ MRADI*Unahusisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Iringa hadi Sumbawanga* ๐Ÿ“Œ *Kapinga asema Mkoa wa Rukwa kuunganishwa na gridi ya Taifa kupitia mradi wa TAZA* ๐Ÿ“Œ *Serikali yatoa Bilioni 21.4 kwa ajili ya kulipa fidia wananchi* ๐Ÿ“Œ *Wananchi Wilaya ya Mufindi kunufaika na mitungi ya Ruzuku* Serikali imesema kuwa, itaukamilisha kwa wakatil mradi […]

KITAIFA
March 16, 2025
44 views 6 mins 0

BILIONI 60 KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPITIWA MRADI WA RUHUDJI NA RUMAKALl

*๐Ÿ“ŒSerikali ya Awamu ya Sita yapongezwa kupelekea Umeme Maeneo Korofi mwambao wa ziwa Nyasa* *๐Ÿ“Œ Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaipongeza REA na TANESCO* *๐Ÿ“Œ Zaidi ya asilimia 98 ya Vijiji vyote Njombe vina umeme* *๐Ÿ“NJOMBE* Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kutafuta fedha za kuwalipa fidia wananchi […]