MIKATABA YA SH BILIONI 50.9 YASAINIWA KUWEZESHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mitungi ya Gesi 400,000 yapewa Ruzuku* Dkt. Biteko Asisitiza Nishati Safi ya Kupikia kwa Wote* Aagiza Majengo ya Wizara ya Nishati/Taasisi kufunga mifumo ya Umeme Jua* Azindua Jengo la REA; Aipongeza kwa usimamizi wa miradi, asisitiza huduma bora* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt. Doto Biteko amesema Serikali inafanya […]