KITAIFA
September 16, 2024
6 views 2 mins 0

MHE.CHANA AZINDUA ZAHANATI YA IVILINGIKE-MAKETE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amezindua rasmi zahanati ya Ivilikinge iliyopo Wilayani Makete Mkoani Njombe sambamba na kukabidhi vifaa mbalimbali vya hospitali vilivyotolewa na Benki ya NMB. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo, leo Septemba 16,2024, Mhe. Chana […]

KITAIFA
September 10, 2024
23 views 2 mins 0

MRADI WA IWT WAKABIDHI MIZINGA 300 KWA WAGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mradi wa Kupambana na Ujangili na Biashara Haramu ya Wanyamapori (IWT) ulio chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii, umekabidhi mizinga  ya kisasa 300, vifaa mbalimbali vya kufugia nyuki na kusindika asali  vyenye gharama ya shilingi milioni 50 kwa Jumuiya za Hifadhi ya Wanyamapori (WAGA). Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. […]

KITAIFA
September 05, 2024
17 views 30 secs 0

WAZIRI CHANA ATETA NA MJUMBE WA BENKI YA DUNIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA WAZIRI CHANA ATETA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka Benki ya Dunia ukiongozwa na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bw. Nathan Belete katika Ofisi za Wizara ya Maliasili na Utalii, jijini Dodoma […]

KITAIFA
August 30, 2024
31 views 2 mins 0

SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHERIA ZA ULINZI WA WATOTO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali imesema imeijidhatiti kuendelea kufanyia maboresho sheria za ulinzi wa Watoto ili ziweze kuendana na wakati huu wa sasa kwa maslahi mapana  ya kuwalinda Watoto. Hayo yamesemwa leo Agosti 30, 2024 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb), alipokuwa akichangia Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya […]

KITAIFA
August 24, 2024
25 views 5 secs 0

RAIS SAMIA ATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KIZIMKAZI ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Agosti 24,2024 ametembelea banda la Wizara ya Maliasili na Utalii na kujionea vivutio mbalimbali vya wanyamapori kwenye maonesho ya Tisa ya Tamasha maarufu la Kizimkazi Kusini Unguja visiwani Zanzibar. Akiwa katika banda hilo, huku akiongozwa na mwenyeji wake […]

KITAIFA
August 23, 2024
30 views 2 mins 0

TFS YAPONGEZWA KWA KAZI NZURI YA ULINZI WA MISITU

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) ameipongeza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa jitihada zake za kulinda maeneo ya misitu nchini na kuwasisitiza kuwa wabunifu na kuongeza mashamba ya miti. Mhe. Chana ameyasema hayo leo Agosti 23,2024 wakati wa kikao na Menejimenti, Maafisa na […]

KITAIFA
July 24, 2024
71 views 9 secs 0

WAZIRI KAIRUKI ATETA NA MKURUGENZI WA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA UTALII DUNIANI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ZAMBIA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN Tourism) Kanda ya Afrika, Bi. Elcia Grandcourt, ambapo pamoja na mambo mengine  kikao hicho kilijikita katika kuendeleza ushirikiano na Shirika hilo hususan, fursa na programu […]

KITAIFA
July 09, 2024
59 views 2 mins 0

TAWA YATAKIWA KUZINGATIA SHERIA,KANUNI NA TARATIBU KATIKA UTENDAJI KAZI

Na Happiness Shayo Morogoro Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) wmetakiwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo iliyopo katika kuongeza tija na kuboresha utendaji kazi wa Mamlaka  hiyo. Rai hiyo imetolewa leo Julai 8,2024 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) katika kikao chake na Menejimenti ya […]

KITAIFA
July 06, 2024
50 views 3 mins 0

WAZIRI KAIRUKI ATANGAZA FURSA ZA SEKTA ZA MISITU,NYUKI NA UTALII

Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amehamasisha Watanzania kuchangamkia fursa zilizopo katika Sekta ya Misitu, Nyuki na Utalii ili kujiongezea kipato na kupata ajira. Ameyasema hayo leo Julai 5,2024 alipotembelea Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa maarufu […]

KITAIFA
July 04, 2024
79 views 3 mins 0

TANZANIA,QATAR KUSHIRIKIANA SEKTA YA UTALII

Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nchi ya Qatar ziko mbioni kusaini Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding-MOU) kushirikiana katika nyanja mbalimbali za Sekta ya Maliasili na Utalii. Hayo yamebainika  leo Julai 4,2024 wakati wa kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Kairuki (Mb) […]