KITAIFA
March 27, 2024
349 views 18 secs 0

SERIKALI KUPANUA UHURU WA HABARI

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mabadiliko katika Sheria ya Huduma za Habari yamekuja kukuza sekta ya habari kwa kiwango kikubwa. Majaliwa ameyasema hayo leo Machi 27, 2024 katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, katika kilele cha Kurasa 365 za Mama, ikiangazia mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu […]

BIASHARA, KITAIFA, MICHEZO
September 25, 2023
312 views 55 secs 0

SERIKALI KUONGEZEA WIGO SEKTA YA MAWASILIANO

Wizara ya Habari na Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa kuweka mazingira wezeshi kwa makampuni ya kutoa huduma ya mawasiliano ili kuongeza wigo katika sekta hiyo. Hayo yamebainishwa leo septemba 25,2023 na Waziri wa Habari na Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape nnauye kwenye Hafla ya utiaji saini hati […]