BIASHARA, KITAIFA
July 07, 2024
279 views 4 mins 0

WAZIRI JAFO AMEWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA KUFANYA URATIBU NZURI WA SHUGHULI ZA KIBIASHARA ILI KULETA FAIDA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk. Selemani Jafo, amewahakikishia wafanyabiashara wa Tanzania kufanya uratibu mzuri wa shughuli za kibiashara ili kuleta faida kubwa sana katika nchi. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza kikao cha pamoja kilichowashirikisha watendaji wa Wizara ya viwanda na Biashara ya Tanzania na Wizara ya […]