WATETEZI WA MAMA KUJA KWA KISHINDO
Taasisi mpya iitwayo watetezi wa mama wamekuja Moja Kwa Moja Kwa ajili ya kumsapoti Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Katika juhudi zake ambazo anazozifanya Katika serikali yake. Miaka 2 ya mama samia mambo makubwa yamefanyika Kuna miradi ya mikakati tunaule mradi wa mwalimu Nyerere wa umeme rufiji na mradi wa reli SGR wengi tulijua miradi haiwezi […]