KITAIFA
January 20, 2025
65 views 5 mins 0

NI WASIRA CCM

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA NI Stephen Wasira CCM! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mqpinduzi(CCM) kupitisha jina lake kuwa Makamu Mwenyekiti akichukua nafasi iliyoachwa na Abdulrahman Kinana. Wasira amepitishwa katika mkutano huo uliofanyika janaย  mjihi Dodoma ambapo amepata kura za ndiyo 1,910 kati ya kura halali 1,917 huku […]