KITAIFA
April 17, 2025
39 views 2 mins 0

WASIRA: CCM HAINA CHUKI, VISASI BALI INAAMINI KATIKA MARIDHIANO

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hakina chuki wala kısası na mtu bali kinaamini kutekeleza sera ya maridhiano. Wasira ametoa kauli hiyo jana akiwa katika mkutano wa hadhara alipokuwa akizungumza na wana CCM wilayani Urambo mkoani Tabora ambako anaendelea na ziara ya kukagua utekelezaji wa […]

KITAIFA
March 14, 2025
54 views 26 secs 0

WASIRA AWASILI SONGWE, KUANZA ZIARA YA SIKU TATU

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Songwe mkoani Mbeya kwa ajili ya kuanza ziara ya siku tatu kuanzia Machi 13 hadi 16, 2025 mkoani Songwe. Uwanjani hapo Makamu Mwenyekiti Wasira alilakiwa na viongozi mbalimbali wa CCM na serikali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Daniel Chongolo.

KITAIFA
January 20, 2025
127 views 5 mins 0

NI WASIRA CCM

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA NI Stephen Wasira CCM! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mqpinduzi(CCM) kupitisha jina lake kuwa Makamu Mwenyekiti akichukua nafasi iliyoachwa na Abdulrahman Kinana. Wasira amepitishwa katika mkutano huo uliofanyika jana  mjihi Dodoma ambapo amepata kura za ndiyo 1,910 kati ya kura halali 1,917 huku […]