KITAIFA
October 10, 2024
140 views 59 secs 0

UMOJA WA WAMACHINGA WAZINDUA KAMPENI YA MPANGO KAZI YA ‘MAMA TUVUSHE 2025’

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Jana oktoba 9,2024 Umoja wa Shirikisho la Wamachinga Tanzania SHIUMA umezindua mpango kazi (Operesheni ) ya kampeni ya “Mama Tuvushe 2025 “ Wamezindua mpango kazi huo (Operesheni )utakaofanyakazi nchi nzima kuzunguka kutokana na maadhimio ya kampeni hiyo,Yote hayo yamejiri wakati wa kikao chao walichokifanya leo mkoani Iringa mbele ya Wamachinga waliojitokeza […]

BIASHARA
September 11, 2024
309 views 2 mins 0

MIGOGORO YA WAMACHINGA NA SERIKALI YAFIKIA KIKOMO

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Viongozi wa Shirikisho la  Umoja wa wafanya biashara ndogondogo (Machinga)kutoka katika Mikoa  20 ya Tanzania bara wamekutana leo 11Septemba mwaka huu  jijini Dar es Salaam ambapo wamekuwa na maazimio mbalimbali ya kuimarisha umoja wa shirikisho hilo. Akizungumza katika mkutano huo Uliofanyika JM Hotel Mwenyekiti wa Muda wa shirikisho […]