KITAIFA
January 25, 2025
64 views 4 mins 0

WATU WENYE UALBINO TEMBEENI KIFUA MBELE-DKT. BITEKO

๐Ÿ“Œ *Asema Serikali inawathani kama ilivyo kwa watu wengine;* ๐Ÿ“Œ *Aipongeza Manara TV kwa msaada wa Vifaa Kinga kwa Wenye Ualbino;* ๐Ÿ“Œ *Wenye Ualbino wampongeza Rais Samia kuchaguliwa mgombea Urais 2025.* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza watu wenye ualbino nchini kutembea kifua mbele na wasiojione wanyonge kutokana na […]

KITAIFA
December 03, 2024
148 views 3 mins 0

DKT BITEKO ASEMA SERIKALI ITAKULA SAHANI MOJA NA WANYANYASAJI WA WENYE ULEMAVU

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA SERIKALI YASEMA UNYANYASAJI DHIDI YA WENYE ULEMAVU SASA BASI Wakuu wa Mikoa waagizwa kusimamia mpango wa taifa haki na Ustawi kwa wenye ulemavu Halmashauri zatakiwa kutenga Bajenti ununuzi wa teknolojia saidizi kwa wenye ulemavuย  ย Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali haipendi kusikia na haitavumilia […]