BIASHARA
April 27, 2024
117 views 49 secs 0

WIZARA YA KILIMO YAPONGEZWA KWA UHAMASISHAJI WA MATUMIZI YA MBEGU BORA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MOROGORO Mkulima mmoja kutoka Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro anayefahamika kwa jina la Raha Aloyce ameipongeza na kuishukuru wizara ya Kilimo kwa jitihada endelevu katika kuhamasisha wakulima kutumia Mbegu na miche bora ili kuweza kunufaika zaidi na shughuli za kilimo wanazofanya Katika maelezo yake, Raha ameeleza kuwa matumizi ya mbegu na […]

KITAIFA
August 05, 2023
192 views 45 secs 0

TBA WATEKELEZA MRADI WA MAGHARA YA KUHIFADHIA CHAKULA MIKOA NANE TANZANIA

WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umetekeleza Miradi wa Maghara ya kuhifadhia chakula katika Mikoa Nane ya Tanzania ili kuwasaida wakulima kuhifadhia mazao yao. Miradi hiyo ni ya teknolojia ya kisasa na inatekelezwa katika Mikoa hiyo ili kusaidia utunzaji wa mazao ya wakulima na kuongeza kuwa mikoa hiyo ni pamoja na ya Nyanda za Juu kusini, […]