BIASHARA
March 14, 2025
31 views 3 mins 0

KAMATI YA BUNGE PIC: JENGO JIPYA WMA LITAONGEZA MORALI KUWAHUDUMIA WANANCHI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 🟠 *Mwenyekiti Vuma ampongeza Rais, Serikali, Wizara na WMA* 🟠 *Katibu Mkuu asema maono ya Rais Samia utoaji huduma bora kwa wananchi yatafikiwa* *Dodoma* Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Mhe. Augustine Vuma amesema kukamilika kwa Jengo la Ofisi Kuu ya Wakala wa […]

BIASHARA
February 08, 2025
53 views 2 mins 0

BODI YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI OFISI KUU WMA

✅ *Mkandarasi kukabidhi Jengo kwa WMA Februari 10* ✅ *Watumishi kuhamia rasmi Dodoma hivi karibuni* *Na Veronica Simba – WMA* Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Vipimo (WMA) imekagua Jengo la Ofisi Kuu ya Wakala hiyo lililo katika hatua za mwisho kukamilika na kukiri kuridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi. Akizungumza na waandishi wa habari […]

BIASHARA
October 08, 2024
172 views 3 mins 0

KAMATI YA BUNGE YAJIONEA NAMNA WMA INAVYOSIMAMIA SEKTA YA MAFUTA BANDARINI

Na Veronica Simba – WMA, Dar es Salaam Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, leo Oktoba 7, 2024 imefanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam na kujionea pamoja na mambo mengine, namna Wakala wa Vipimo (WMA) wanavyosimamia sekta ya mafuta. Meneja wa WMA Kitengo cha Bandari, Alfred Shungu amewaeleza […]

BIASHARA
October 04, 2024
238 views 4 mins 0

KATIBU MKUU VIWANDA NA BIASHARA AIAGIZA MENEJIMENTI WMA KUTEKELEZA MAONO YA RAIS SAMIA

Na Veronica Simba WMA PWANI Akabidhi magari kuboresha utendaji kazi Azindua Jarida maalum kupanua wigo uhabarishaji umma Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah ameitaka Menejimenti ya Wakala wa Vipimo (WMA) kutekeleza maono ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuzingatia utendaji kazi wenye weledi, ubora na viwango ili kupata matokeo chanya katika […]

KITAIFA
September 27, 2024
243 views 2 mins 0

UJENZI OFISI KUU WAKALA WA VIPIMO KUKAMILIKA JANUARI 2025

Na Veronica Simba WMA DODOMA Imeelezwa kuwa ujenzi unaoendelea wa Ofisi Kuu ya Wakala wa Vipimo (WMA) unatarajiwa kukamilika Januari 2025. Mwakilishi wa Mtendaji Mkuu wa WMA, Karim Zuberi amemweleza hayo Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Kaspar Mmuya aliyefanya ziara kujionea maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo eneo la Medeli jijini Dodoma, Septemba 27, […]

BIASHARA
September 12, 2024
224 views 4 mins 0

WAZIRI JAFO:WIZI WA KUCHEZEA VIPIMO NI KOSA KISHERIA

Na Mwandishi Wetu WMA MWANZA Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo amehimiza wananchi jijini Mwanza kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo kila mara wanapofanya manunuzi na kuuza bidhaa mbalimbali. Aliyasema hayo Septemba 11, 2024 wakati akifungua rasmi Maonesho ya 19 ya Biashara ya Afrika Mashariki yanayofanyika katika Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza. “Wizi wa […]

BIASHARA
September 11, 2024
286 views 2 mins 0

WMA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA TEHAMA KWA JESHI LA POLISI

Na Mahamudu Jamal WMA Wakala wa Vipimo (WMA) imekabidhi msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa kipolisi Ilala, Septemba 10, 2024 katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar es Salaam. Akiongoza makabidhiano hayo kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa WMA, Meneja wa […]

KITAIFA
September 07, 2024
239 views 4 mins 0

WMA, TAKUKURU WATEKELEZA MAELEKEZO YA RAIS SAMIA

Ni yanayozitaka Mamlaka na Taasisi za Umma kupanga na kutekeleza kwa pamoja majukumu mbalimbali ya Serikali* Na Veronica Simba, WMA Dodoma Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imetoa elimu ya vipimo kwa Watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), hivyo kutimiza maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan yanayozitaka Mamlaka na Taasisi […]

BIASHARA
September 04, 2024
312 views 2 mins 0

WMA YAHIMIZA MATUMIZI YA MIZANI ILIYOHAKIKIWA KWA WAFANYABIASHARA WA GESI

Na Pendo Magambo – WMA, Dar es Salaam Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) imewataka wafanyabiashara wa gesi kutumia mizani iliyohakikiwa na WMA ili kujiridhisha na usahihi wa uzito wa mitungi ya gesi kabla ya kuiuza kwa wateja. Wito huo ulitolewa Septemba 3, 2024 jijini Dar es Salaam na Afisa Vipimo Yahya Tunda kutoka WMA Mkoa […]

KITAIFA
August 29, 2024
220 views 3 mins 0

WMA YAHAMASISHA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO KWA WATUMISHI NSSF ILALA

Na Mahamudu Jamal WMA Wakala wa Vipimo  Tanzania (WMA), imewahamasisha watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) Ilala, kujenga tabia ya kuwa makini  na  namna vipimo vinavyotumika kila wanapopata huduma na mahitaji mbalimbali. Afisa Vipimo kutoka WMA Ilala, Yahaya Tunda, amesisitiza hay oleo, Agosti 28, 2024 wakati akiwasilisha mada kuhusu majukumu ya […]