KITAIFA
January 20, 2025
30 views 6 mins 0

DODOMA KUMECHANGAMKA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikitarajiwa kuanza kwa Mkutano Mkuu Maalum kesho, hali ya hekaheka za wajumbe kutoka mikoa mbalimbali imeshika kasi jijini Dodoma. Kutokana na hali hiyo ni wazi kwa siku ya jana Jiji la Dodoma lilikuwa na shangwe huku naba kubwa ya wajumbe kutoka mikoa ya Dar es […]

KITAIFA
January 20, 2025
35 views 3 mins 0

KUMEKUCHA CCM DODOMA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Mchakato wa kumjua mrithi wa Kinana kuanza kesho, Dodoma yapambwa na rangi ya kijani kila kona *Hoteli zachukuliwa na CCM, wajumbe waanza kuwasili -DODOMA WAKATI joto la kutaka kujua nani atarithi nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokuwa inashikiliwa na Komredi Abdulrahman Kinana sasa ni wazi vikao vya […]