DODOMA KUMECHANGAMKA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikitarajiwa kuanza kwa Mkutano Mkuu Maalum kesho, hali ya hekaheka za wajumbe kutoka mikoa mbalimbali imeshika kasi jijini Dodoma. Kutokana na hali hiyo ni wazi kwa siku ya jana Jiji la Dodoma lilikuwa na shangwe huku naba kubwa ya wajumbe kutoka mikoa ya Dar es […]