KITAIFA
November 30, 2023
307 views 3 mins 0

SERIKALI KUJENGA KAMPASI 14 MIKOA YA PEMBEZONI

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali iko kwenye maandalizi ya awali ya ujenzi wa kampasi 14 mpya za vyuo vikuu kwenye mikoa ya pembezoni isiyokuwa na vyuo vikuu. Ameitaja mikoa hiyo kuwa ni Kigoma, Ruvuma, Singida, Mwanza, Kagera, Tanga, Njombe, Tabora, Manyara, Simiyu, Shinyanga, Lindi, Rukwa, na Katavi. Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo (Alhamisi, […]