KITAIFA
June 14, 2024
253 views 2 mins 0

VIONGOZI WA DINI WAENDELEA KUKEMEA VITENDO VYA USHOGA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Wakati sakata la ushoga likiendelea kutawala mijadala kupitia vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii, viongozi wa dini wameendelea kukemea na kutoa maonyo juu ya vitendo hivyo. Wakizungumza na waandishi wa habari mapema leo, viongozi hao wakiwemo maaskofu, wachungaji na ma-sheikh pamoja na wakufunzi wa vyuo vya […]

KITAIFA
April 21, 2024
267 views 3 mins 0

WAZIRI MKUU AWAAGA VIONGOZI WA DINI, UZINDUZI WA ROUTE YA SGR DAR- DODOMA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaaga viongozi wa dini 104 ambao wanaelekea Dodoma kwa treni ya mwendokasi (SGR) kwenda kushiriki ibada maalum ya kuliombea Taifa inayotarajiwa kufanyika kesho, Jumatatu,  Aprili 22, 2024. Treni hiyo imeondoka stesheni ya Dar es Salaam saa 8.53 mchana ikiwa na viongozi hao, waandishi wa habari, […]