KITAIFA
October 26, 2023
154 views 2 mins 0

GADDAFI:AWAPA KICHENIPARTY VIONGOZI WASIOTAKA VIONGOZI WA NGAZI YA CHINI KUFANYA MIAZARA

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es salaam Komredi Abbas Mtemvu amewataka viongozi wa serikali waliopata nyadhifa kuanzia ngazi ya Serikali za Mitaa ,Wilaya hadi Mkoa kushirikiana na Madiwani na Wabunge wa Viti maalumu wanapotaka kufanya ziara katika kata kujua changamoto zinazowakabili na kuzipatia ufumbuzi. Agizo hilo amelitoa leo Jijini Dar es salaam Katika Shughuli […]

KITAIFA
October 04, 2023
387 views 40 secs 0

COMRADE JOKATE MWEGELO APOKELEWA KWA SHANGWE DAR

> _Atoa shukrani kwa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwa kumuamini na kumteua._ > _Ahaidi kufanya kazi kwa ushirikiano wa kutosha._ Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania ya Chama Cha Mapinduzi (UWT) Ndugu. Jokate Mwegelo amepokelewa rasmi alipowasili katika Ofisi za CCM Makoa Makuu Lumumba Jijini Dar es salaam. […]