UWANJA WA MPIRA WA MIGUU WA ARUSHA KUDUMU MIAKA 130
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma amesema kuwa uwanja wa mpira wa miguu wa Arusha utakapokamilika utakuwa na uwezo wa kudumu miaka 130 huku ukiwa unafanyiwa marekebisho kila baada ya miaka 10. Mhe. Mwinjuma ameyasema hayo wakati wa ziara ya kamati ya kudumu ya Bunge ya […]