MICHEZO
March 14, 2025
45 views 43 secs 0

UWANJA WA MPIRA WA MIGUU WA ARUSHA KUDUMU MIAKA 130

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma amesema kuwa uwanja wa mpira wa miguu wa Arusha utakapokamilika utakuwa na uwezo wa kudumu miaka 130 huku ukiwa unafanyiwa marekebisho kila baada ya miaka 10. Mhe. Mwinjuma ameyasema hayo wakati wa ziara ya kamati ya kudumu ya Bunge ya […]

MICHEZO
February 14, 2025
96 views 3 mins 0

UWANJA WA MPIRA WA KIMATAIFA WA DODOMA KUBEBA WATAZAMAJI ZAIDI YA ELFU 32

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA DODOMA Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Palamagamba Kabudi, leo Februari 13, 2025, ameshuhudia utiaji saini Mkataba wa kuanza rasmi Ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu utakaokuwa na uwezo wa kuketisha watazamaji 32,000 kwa mara  moja katika eneo la Nzuguni Jijini Dodoma. Akizungumza na hadhara iliyojitokeza kushuhudia tukio […]