UVCCM YAPOKEA VIFAA VYA KILIMO VYENYE THAMANI YA TAKRIBANI MILIONI 200
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umekabishiwa vifaa vya kilimo na Kampuni ya Kichina ya AMEC Group. Akizungumza katika hafla fupi ya makabidhiano hayo leo Julai 19, 2024 jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mohammed Kawaida amesema vifaa hivyo lengo ni kuwasaidia vijana kujikwamua […]