KITAIFA
April 09, 2025
22 views 2 mins 0

KAIMU  KATIBU MKUU DAUDI AWAFUNDA WAJUMBE WA KAMATI ZA USHAURI ZA AJIRA ZA RAIA WA KIGENI KATIKA UTUMISHI WA UMMA

Na. Lusungu Helela – Dodoma. Kaimu  Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi amewatakaย Wajumbe wa Kamati za Ushauri za Ajira za Raia wa Kigeni katika Utumishi wa Umma kuhakikisha wanalinda taswira ya nchi kimataifa kwa kuyafanyia kazi na kuyawasilisha maombi hayo ya ajira za raia wa […]

KITAIFA
December 12, 2024
154 views 3 mins 0

KIKAO KAZI CHA WAKUU WA IDARA ZA UTAWALA NA RASILIMALIWATU SERIKALINI CHAIVA, KAIMU KATIBU MKUU-UTUMISHI AWAITA

Na Mwandishi Wetu-Dodoma Serikali kupitia Ofisi yaย  Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imetoa wito kwa Wakuu wa Idara za Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Serikalini kushiriki Kikao Kazi kwa lengo la kubadilishana uzoefu na kupata maelekezo kuhusu masuala yanayohusu Usimamizi wa Rasilimaliwatu katika utumishi umma kwa kuzingatia shabaha na vipaumbele vya […]