KONGAMANO LA UTENGAMAO WA AKILI KUFANYIKA JNICC
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Taasisi isiyo ya kiserikali ya Rihab Health imeandaa Kongamano la pili la Utengamao wa akili (Rehabilitationย summit) linalokusudia kuendeleza ajenda ya utengamao wa Afya ya akili nchini lenye kauli mbiu ya “kuendeleza ajenda ya utengamao,kuimarisha mifumo ya Afya nchini. Mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo Remla Shirima amezungumza na […]