KITAIFA
February 19, 2025
24 views 4 mins 0

KAMATI YA BUNGE YA UTAWALA,  KATIBA NA SHERIA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA TASAF ZANZIBAR

Na Lusungu Helela- UNGUJA Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika kisiwa cha Unguja Zanzibar. Kamati hiyo, imetoa pongezi hizo baada ya kutembelea na kukagua ujenzi wa Ukumbi wa Mitihani na  Dahalia ya wanafunzi wa kike […]