DC MPOGOLO AFUNGUA UMISSETA WILAYA YA ILALA
Na Mwandishi wetu Wamachinga Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mkoani Dar es salaam, Edward Mpogolo, amefungua mashindano ya Umoja wa Shule za Sekondari-UMISSETA Wilaya ya llala Mashindano hayo yameshirikisha wanafunzi kutoka Majimbo ya Ilala, Segerea na Ukonga kwa ajili kuunda timu ya Wilaya Ilala. Watakaochaguliwa wataunda timu ya kanda itakayokwenda ngazi ya Mkoa wa Dar […]