KITAIFA
May 12, 2023
171 views 46 secs 0

WAZIRI BASHUNGWA: SERIKALI INAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA VIKOSI VYA JESHI

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Innocent Bashungwa (Mb) amesema Wizara inaendelea kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi na kuboresha miundombinu mbalimbali kwenye vikosi vya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ikiwemo ukarabati wa makambi na nyumba za makazi kwa maafisa na askari. Bashungwa amesema hayo leo tarehe 12 Mei 2023 wakati […]