BIASHARA, KITAIFA
February 26, 2024
148 views 2 mins 0

TPA YASAINI MKATABA WA KUHIFADHI NA KUSAMBAZA BIDHAA ZA MAFUTA KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Mamlaka ya Usimamizi wa bandariย  Tanzania TPA imeingia mkataba wa ujenzi wa matenki na Miundombinu ya kupokelea,kuhifadhi na Usambazaji wa bidhaa ya mafuta Katika bandari ya Dar es salaam Waziri wa uchukuzi Mhe prof Makame Mbarawa ameshuhudia utiaji Saini wa mkataba huo wa matenki 15 utakaogharimu shiringi bilioni 678 […]