KITAIFA
June 30, 2023
101 views 2 mins 0

GWAJIMA: UKOSEFU WA UJEZI WA MITARO WAMUHUZUNISHA

Mbunge wa Kawe, Dar es Salaam Askofu Josephat Gwajima ameipongeza Serikali kwa kupelekea huduma ya usafi wa haraka (Mwendokasi) katika jimbo lake ambapo utiaji saidi wa ujenzi wa barabara zake umefanyika leo Juni 30, 2023 na kutaja awamu ya kwanza ya mradi huo itakuwa ni ujenzi wa kipande cha kutoka Mwenge hadi Ubungo ukigharamiwa kupitia […]