KITAIFA
November 28, 2024
147 views 19 secs 0

TIYARI NIMEPIGA KURA, WEWE JE? MBUNGE STEPHEN BYABATO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Wakili Stephen Byabato leo Tarehe 27 Novemba 2024 amepiga kura kuwachagua Viongozi wa Serikali za Mitaa katika kituo cha Chuo Huria Mtaa wa Migera – Nshambya Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera.

KITAIFA
November 27, 2024
78 views 13 secs 0

NAIBU WAZIRI SANGU APIGA KURA KIJIJINI KWAKE , AWAHIMIZA WANANCHI

Na Mwandishi Wetu-Rukwa Naibu Waziri, Menejimenti ya Utumishi wa Umma ma Utawala Bora Mhe.Deus Sanguย  amesisitiza umuhimu wa Wananchi wa Jimbo la Kwela kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa huku akibainisha kuwa uchaguzi huu ni fursa kwa wananchi kupata viongozi wa karibu wanaojuaย  changamoto zinazowakabiliย  za moja kwa moja katika maeneo yao. Mhe.Sangu […]

KITAIFA
November 27, 2024
167 views 19 secs 0

RAIS SAMIA APIGA KURA KITONGOJI CHA SOKOINE CHAMWINO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mtaa katika kitongoji cha Sokoine, Chamwino mkoani Dodoma tarehe 27 Novemba, 2024.

KITAIFA
November 27, 2024
95 views 35 secs 0

DKT MPANGO MUTAKAO CHAGULIWA TUMIENI VEMA NAFASI KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa viongozi watakaochaguliwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa kutumia vema nafasi hizo kuwaletea wananchi maendeleo. Makamu wa Rais ametoa wito huo mara baada ya kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Kihanga Kijiji […]

KITAIFA
November 27, 2024
95 views 44 secs 0

NIMEPIGA KURA; NIMETIMIZA HAKI YANGU YA KIKATIBA- MHE.KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Aungana na Wananchi kuchagua Viongozi Kitongoji cha Mheza* Ahimiza Watanzania kuendelea kujitokeza kupiga kura* Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga leo ameshiriki zoezi la kupigakura katika Kitongoji cha Mheza kijiji cha Mkumbi Halmashauri ya Mbinga Vijijini ili kuchagua viongozi wa eneo husika. Kapinga ameeleza kuwa, kwa kufanya hivyo ametimiza haki […]

KITAIFA
November 27, 2024
109 views 20 secs 0

WANANCHI WACHAGUA VIONGOZI  SERIKALI ZA MITAA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA DKT. Biteko apongeza Wananchi Kujitokeza kwa wingi* Awahimiza kujitokeza kuwachagua viongozi* Watanzania katika maeneo mbalimbali ya nchi wamejitokeza kupiga kura kwa ajili ya kuwachagua viongozi wao ngazi ya Serikali za Mitaa. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametimiza haki yake ya Kikatiba katika Kata ya Bulangwa, […]