KITAIFA
March 05, 2025
65 views 4 mins 0

DAR – KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA MACHI 17 -23, 2025

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Wapiga Kura wapya zaidi ya Laki sita wanatarajiwa kuandikishwa na Tume. Mkoa wa Dar es Salaam unatajia kuanza Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuanzia tarehe 17 hadi 23 Machi 2025 ambapo wapiga kura wapya 643,420 wanatarajiwa kuandikishwa. Hayo yamesemwa leo Machi 5, 2025 na Mwenyekiti wa Tume Huru […]

KITAIFA
February 26, 2025
63 views 3 mins 0

INEC YATANGAZA KUANZA MCHAKATO WA KUGAWA MAJIMBONI

Na. Mwandishi Wetu, Morogoro Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanza kwa mchakato wa kuchunguza na kugawa au kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi ambapo itapokea mapendekezo kuanzia tarehe 27 Februari, 2025 hadi tarehe 26 Machi, 2025. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufani, Jacobs Mwambegele […]

KITAIFA
November 25, 2024
154 views 17 secs 0

ATAKAYEFANYA FUJO SIKU YA UCHAGUZI HATABAKI SALAMA-RC CHALAMILA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametoa wito kwa wakazi wa jiji hilo kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika kesho, Novemba 27, 2024. Akizungumza na vyombo vya habari, Chalamila amesema maandalizi yote yamekamilika, hali ya usalama ni shwari, na vyombo […]