KITAIFA
November 09, 2023
174 views 2 mins 0

RC CHALAMILA BEHEWA KWA BEHEWA KUSIKILIZA KERO USAFIRI WA TRENI KAMATA -PUGU

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo leo Novemba 8,2023 amefanya ziara kwa treni za mjini kutoka stesheni ya Kamata kwenda Pugu kuona adha wanazokumbana nazo abiria.  Mhe Albert Chalamila alitumia usafiri huo ili kuweza kuwasikiliza abiria na kuona kero na […]