KITAIFA
May 13, 2024
75 views 3 mins 0

WANANCHI WAAHIDI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU

Waipongeza TAWA kwa ushirikishaji Na. Beatus Maganja Kufuatia changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu nchini, wananchi wa  Mikoa ya Kanda ya Ziwa hususani Shinyanga na Mwanza  wamekubali na kuahidi kushirikiana na Serikali kukabiliana changamoto hiyo ili kupunguza adha kwa wananchi hasa wale wanaoishi pembezoni mwa hifadhi. Wakizungumza na waandishi wa habari katika ziara iliyofanywa na […]

KITAIFA
April 24, 2024
108 views 2 mins 0

TAWA YAPOKEA MELI YA WATALII ZAIDI YA 200 KILWA KISIWANI

Na Beatus Maganja Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA leo Aprili 24, 2024 imepokea meli  ya watalii wapatao 230 kutoka Mataifa mbalimbali Duniani  waliofika katika Hifadhi ya Urithi wa utamaduni wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara kwa ajili ya shughuli za utalii. Meli ijulikanayo kwa jina la “Silver Clouds” […]

KITAIFA
February 26, 2024
61 views 2 mins 0

MATOKEO YA ROYAL TOUR YADHIHIRIKA KILWA,WIMBI LA WATALII WA NJE LAZIDI KUONGEZEKA

Na. Beatus Maganja Kazi iliyotukuka ya kutangaza Utalii wa Nchi yetu iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan kupitia filamu ya Tanzania “The Royal Tour” inazidi kudhihirisha matokeo chanya katika Hifadhi zetu Nchini hususan Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara ambayo […]

KITAIFA
February 14, 2024
140 views 3 mins 0

KAMISHNA MABULA AWATAKA MAOFISA WA TAWA KY MARISHA SHUGHULI ZA UTALII ILI KUONGEZA MAPATO SERIKALINI

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA Mabula Misungwi Nyanda amewataka Maofisa wote wa taasisi hiyo kuweka mikakati madhubuti ya kuongeza idadi ya watalii ili kuongeza mapato Serikalini ikiwa ni pamoja na kuboresha ulinzi na usimamizi wa rasilimali za wanyamapori na malikale. Kamishna Mabula ameyasema hayo leo Februari 10, 2024 […]

KITAIFA
February 14, 2024
155 views 13 secs 0

HIFADHI YA MAGOFU YA KILWA KISIWANI YAENDELEA KUFURIKA WATALII WA NJE

Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara inaendelea kupokea makundi makubwa ya watalii kutoka Mataifa mbalimbali Duniani ambao wanafika nchini mahsusi kwa ajili ya kutembelea hifadhi hiyo iliyosheheni utajiri wa kihistoria na maajabu ya magofu ya kale kwa shughuli za utalii. Kwa mara nyingine ikiwa ni kundi la tatu […]

KITAIFA
January 19, 2024
188 views 4 mins 0

DC BUNDA:MVUA ZA EL NINO NI SABABU YA ONGEZEKO LA MAMBA KASAHUNGA NA MAYOLO

Na. Beatus Maganja Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Dkt. Vicent Anney amesema mvua za El Nino zimekuwa sababu kubwa ya ongezeko la wanyamapori aina ya mamba ambao wamekuwa wakitoka maeneo yao ya asili na kwenda maeneo ya wananchi na kuleta madhara kwa maisha na mali zao katika vijiji vya Kasahunga na Mayolo Wilayani Bunda. […]

KITAIFA
January 17, 2024
184 views 2 mins 0

KAMISHNA WA TAWA AZINDUA MRADI WA JENGO LA OFISI LENYE THAMANI YA ZAIDI YA TZS MILIONI 250AMPONGEZA RAIS SAMIA

Na. Beatus Maganja Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania – TAWA amezindua mradi wa jengo la ofisi lenye jumla ya vyumba 8 vikiwemo vyumba 6 vitakavyotumika kama ofisi, chumba cha mikutano, stoo pamoja na vyoo viwili, mradi unaotajwa kugharimu zaidi ya Tsh. Millioni 250. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa jengo hilo […]

KITAIFA
December 07, 2023
122 views 2 mins 0

TPSF KUANDAA SEMINA KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU TAWA NA MATAASISI YA BANK

Na Madina Mohammed Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF )kwa Kushirikiana na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori( TAWA ) zimefanya Warsha kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa wataalamu wa Sekta ya Benki pamoja na Mawasiliano ili kuweza kushirikiana kwa pamoja kudhibiti Maliasiri. Akizungumza na Waandishi wa Habari kando ya Warsha hiyo iliyofanyika Desemba 7 ,2023 jijini […]