KITAIFA
December 07, 2023
217 views 34 secs 0

TFRA WADAU WA MBOLEA WATOA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO HANANG

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Joel Laurent, amekusanya kiasi cha tani 78.5 za mbolea zenye thamani ya shilingi Milioni 129,449,094 kutoka kwa wadau wa mbolea zitakazokabidhiwa kwa waathirika wa mafuriko ya tope yaliyotokea Wilayani Hanang katika mji mdogo wa Katesh hivi karibuni. Laurent amekabidhiwa kiasi cha tani 65 za mbolea […]

KITAIFA
November 14, 2023
160 views 39 secs 0

TFRA YAKAGUA SHEHENA YA MBOLEA BANDARI KAVU YA DAR ES SALAAM

Moja ya jukumu la Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) ni kukagua mbolea zinazozalishwa nchini au kuingizwa nchini kutoka nje ya nchi kabla ya kumfikia mkulima. Jukumu hilo ni takwa la kisheria na linatekelezwa kikamilifu ambapo kila muingizaji wa mbolea huhakikisha mbolea yake inakaguliwa na kupewa kibali cha kuingia sokoni. Leo tarehe 14 Novemba, […]