WANAWAKE TFRA WAWAFIKIA WALIMU/WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI TEMEKE KWA ELIMU YA MBOLEA
Na mwandishi wetu Walimu wa shule za Sekondari Vetenari, Temeke, Sandali na wanafunzi wa shule ya ya Temeke wamepewa elimu ya mbolea na kuombwa kuwa mabalozi wema kwenye jamii zao juu ya matumizi sahihi ya mbolea. Elimu hiyo imetolewa na wawakilishi wa watumishi wanawake wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) ikiongozwa na Gema […]