KITAIFA
January 23, 2025
51 views 2 mins 0

SERIKALI YAJA NA MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA KIVUKO MAGOGONI-KIGAMBONI

-Yazindua vivuko 2 vya kisasa -Kivuko kimoja kinauwezo wa kubeba watu 250 kwa mara moja kwa kasi ya dakika 5 hadi 6. Waziri wa Ujenzi Mhe Abdallah Ulega leo Januari 23, 2025 amezindua mashirikiano kati ya Serikali na Sekta binafsi katika kituo cha Magogoni kwa kuzindua rasmi vivuko 2 ambavyo vitatoa huduma kwa wananchi, uwekezaji […]

KITAIFA
May 10, 2024
198 views 2 mins 0

BASHUNGWA AZIKUTANISHA TEMESA NA AZAM MARINE UBORESHAJI HUDUMA ZA VIVUKO

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameukutanisha Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) na Kampuni ya M/S Azam Marine kujadili namna ya kuendelea kushirikiana kwa pamoja kuboresha utoaji wa huduma za usafiri wa vivuko katika eneo la Magogoni – Kigamboni jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kimefanyika Mei 10, 2024 jijini Dar es Salaam kwa kuwakutanisha […]