TEF YAWAPONGEZA SAMIA,DKT MWINYI,DKT NCHIMBI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM MKUTANO Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Dodoma Januari 18 na19, mwaka huu umewateua Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho, Dkt. Hussein Ali Mwinyi kuwamgombea urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar […]