SERIKALI YASAINI MIKATABA 6 YA UWEKEZAJI MAHIRI WA WANYAMAPORI YENYE THAMANI YA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 278
Na Happiness Shayo Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imetia saini mikataba sita ya uwekezaji katika Maeneo Maalum ya Uwekezaji wa Wanyamapori (Special Wildife Investment Concession Areas – SWICA) yenye thamani ya dola za Kimarekani milioni 278, sawa na shilingi za kitanzania Bilioni 696 kwa ajili ya kuendeleza […]