KITAIFA
September 13, 2024
11 views 0 secs 0

BODI YA UTALII KUJA NA ONESHO LA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO SITE

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Bodi ya utalii Tanzania (TTB) inatarajia kuazimisha onesho la nane la SWAHILI INTERNATIONA TOURISM EXPO (S!TE) ambapo onesho hilo litafanyika kuanzia 11 mpaka 13 Oktoba mwaka huu. Akizungumza na waandishibwa habari mapema hii leo septemba 12,2024 Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya utalii nchini […]

KITAIFA
August 25, 2024
45 views 4 mins 0

TAWA YATOA SAINI MIKATABA YA UWEKEZAJI WA MIUNDOMBINU YA UTALII

Na Beatus Maganja DAR ES SALAAM YATARAJIA KUIINGIZIA SERIKALI ZAIDI YA BILIONI 27 KWA MWAKA* Zipline, Loji zenye hadhi ya nyota 5 na Kambi za Kitalii zenye hadhi ya nyota 4 kujengwa MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA leo Agosti 24, 2024 imetia saini mikataba minne (4) ya uwekezaji wa miundombinu ya utalii […]

KITAIFA
July 14, 2024
34 views 54 secs 0

SEMFUKO AWAHIMIZA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA YA UFUGAJI WA WANYAMAPORI

Na Beatus Maganja Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko amewahimiza watanzania kuchangamkia fursa za ufugaji wa wanyamapori zinazopatikana katika Taasisi ya TAWA. Ameyasema hayo leo Julai 13, 2024 alipotembelea banda la Wizara ya Maliasili na Utalii Katika Maonesho ya 48 ya biashara […]

KITAIFA
July 06, 2024
66 views 3 mins 0

TAWA YANADI FURSA ZA UWEKEZAJI MAONESHO YA 48 YA KIMATAIFA ALMAARUFU SABASABA 2024

Na Beatus Maganja, Dar es Salaam. MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inatumia maonesho ya 48 ya kimataifa ya kibiashara yanayoendelea Jijini Dar es Salaam kuhamasisha Umma wa watanzania wawekezaji na wageni  kutoka mataifa mbalimbali kuwekeza katika maeneo  inayoyasimamia huku ikijinasibu kuwa na fursa lukuki za uwekezaji Akiongea na wageni waliotembelea banda la TAWA […]

KITAIFA
June 07, 2024
117 views 56 secs 0

TAWA YANG’ARA MAONESHO YA UTALII NA BIASHARA TANGA

Na Beatus Maganja TANGA Yanyakua tuzo na kujikusanyia vyeti kadhaa vya pongezi* Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imepokea tuzo ya mshindi wa pili wa jumla kwenye maonesho yaย  11 ya utalii na biashara almaarufu “TANGA TRADE FAIR” yaliyokuwa yakifanyika katika viwanja vya shule ya sekondari usagara Mkoani Tangaย  kuanzia Mei 28, 2024 […]

KITAIFA
April 16, 2024
76 views 3 mins 0

TAWA YATOA MISAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI

Na. Beatus Maganja Wananchi walioathiriwa na mafuriko  wilayani Rufiji wameiona thamani na umuhimu wa uwepo wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA baada ya leo  Aprili 16, 2024 kupokea misaada mbalimbali kutoka kwa taasisi hiyo  yenye thamani ya shillingi millioni 20 ikiwemo tani 6.4 za unga wa sembe, Kilo 666 za maharage na […]

KITAIFA
April 16, 2024
98 views 2 mins 0

TAWA YAWEKA KAMBI RUFIJI,ELIMU YA KUEPUKA MADHARA YA MAMBA NA VIBOKO YATOLEWA

Na. Beatus Maganja Timu ya Maofisa uelimishaji kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imeweka kambi maalumu wilayani Rufiji yenye lengo la kutoa elimu ya namna ya kuepuka madhara yatokanayo na mamba na viboko kwa wananchi walioathiriwa na mafuriko wilayani humo. Hayo yamesemwa leo na Afisa habari wa TAWA Beatus Maganja alipokuwa akiongea […]

KITAIFA
February 15, 2024
110 views 51 secs 0

IDADI YA WATALII WA KIGENI KILWA YAZIDI KUONGEZEKA, WENGINE 119 WAWASILI LEO

Na. Beatus Maganja Idadi ya watalii wa kigeni kutoka Mataifa mbalimbali Duniani inazidi kuongezeka kwa Kasi katika Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Magofu ya Kilwa kisiwani na Songo Mnara, Hifadhi inayotajwa kuwa na upekee wa utalii wa kihistoria na kiutamaduni. Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA ikiwa ndiyo taasisi yenye dhamana ya […]

KITAIFA
January 15, 2024
188 views 2 mins 0

KAMISHNA MABULA AFANYA UKAGUZI WA KARAKANA YA KISASA MANYONI,ATOA MAELEKEZO MAHSUSI

Na. Beatus Maganja Kamishna wa Uhifadhi wa TAWA Mabula Misungwi Nyanda ameeleza kufurahishwa kwake na ubora wa viwango vya ujenzi wa karakana ya matengenezo ya magari na mitambo iliyojengwa Kanda ya Kati ya TAWA wilayani Manyoni, karakana inayotajwa kuwa ni kubwa kuliko karakana zote zilizojengwa na taasisi hiyo. Ameyasema hayo Januari 14, 2024 akiwa katika […]