KITAIFA
March 21, 2025
19 views 3 mins 0

MIAKA MINNE YA RAIS SAMIA IMELETA MAPINDUZI YA UTALII MPANGA/KIPENGERE – SEMFUKO

๐Ÿ“ Mapato na Idadi ya Watalii Vyaongezeka Na Beatus Maganja, Mbeya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Meja Jenerali (Mstaafu) Hamis R. Semfuko, amesema kuwa juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan […]

KITAIFA
March 14, 2025
37 views 3 mins 0

WANANCHI WA NGOMBO AMBAO BADO HAWAJALIPWA FIDIA ZAO WATAKIWA KUJITOKEZA KUCHUKUA STAHIKI ZAO

๐Ÿ“ TAWA yaagizwa kurejesha Hifadhi ya Kilombero katika uasili wake Na Mwandishi wetu – Malinyi. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Wakili Sebastian Waryuba amewataka wananchi waliohama kwa hiyari kutoka katika Kijiji cha Ngombo ambacho awali  kilikuwa ndani ya Pori la Akiba Kilombero ambao bado hawajalipwa fidia zao wajitokeze na kufika katika Kata ya Biro […]

KITAIFA
March 05, 2025
43 views 3 mins 0

KILWA YAENDELEA KUFURIKA WATALII

๐Ÿ“Meli ya “Le Bougainville yaleta wengine zaidi ya 130. Na Beatus Maganja Meli ya Kifahari ya kitalii ya “Le Bougainville,”  imewasili leo Machi 05, 2025 katika Hifadhi ya urithi wa utamaduni wa dunia Magofu ya Kale Kilwa Kisiwani na Songo Mnara Mkoani Lindi ikiwa na jumla ya watalii 133 kutoka Mataifa mbalimbali duniani Kwa ajili […]

KITAIFA
March 04, 2025
46 views 59 secs 0

TAWA  Yasherehekea Siku ya Wanyamapori Duniani kwa Kutoa Misaada na Elimu ya Uhifadhi

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA Kanda ya Magharibi leo Machi 3, 2025 imesherehekea Siku ya Wanyamapori Duniani kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii na uhifadhi, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za kulinda wanyamapori na mazingira. Katika maadhimisho hayo, Kanda hiyo ilitoa misaada ya vyakula kwa wanafunzi […]

KITAIFA
February 21, 2025
44 views 4 mins 0

UWINDAJI WA KITALII KUIINGIZIA TANZANIA BIL.2.5

Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kuingiza jumla ya Dola za Kimarekani 968,000 sawa na shilingi za kitanzania bilioni 2.5 kama ada ya vitalu vya uwindaji wa kitalii kwa mwaka pamoja na mapato mengine. Hayo yamesemwa leo Februari 21,2025 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, […]

KITAIFA
February 20, 2025
62 views 3 mins 0

OPARESHENI YA KUWADHIBITI FISI SIMIYU YAONESHA MAFANIKIO MAKUBWA

๐Ÿ“ Zaidi ya Fisi 16 wavunwa. Na Mwandishi wetu, Simiyu. Oparesheni maalumu ya kuwadhibiti wanyamapori wakali na waharibifu aina ya fisi waliokuwa wanaleta taharuki na madhara Kwa jamii inayoendelea Mkoani Simiyu imeonesha mafanikio makubwa baada ya fisi 16 kuvunwa ikiwa ni hatua muhimu iliyochukuliwa na Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii ya kuhakikisha usalama […]

KITAIFA
February 08, 2025
72 views 3 mins 0

DC BARIADI AKEMEA VIKALI VITENDO VYA KUCHUNGIA MIFUGO NDANI YA HIFADHI

Na Mwandishi wetu, Bariadi -Simiyu Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mhe. Simon Simalenga amekemea vikali vitendo vya baadhi ya wafugaji wilayani humo kuchungia mifugo ndani ya Hifadhi hususani Pori la Akiba Maswa huku akisisitiza kuwa wilaya hiyo sio sehemu salama kwa watu wanaofanya ujangili na  wanaovunja sheria, kanuni na taratibu  zilizowekwa kwa ajili ya kulinda […]

KITAIFA
February 08, 2025
80 views 2 mins 0

ZATO, KAMISHENI YA UTALII ZANZIBAR WATUA KILWA

๐Ÿ“ Mikakati kamambe ya kutanua wigo wa soko la Utalii  yasukwa Na Beatus Maganja Kamisheni ya Utalii ya Zanzibar na Chama cha waongoza watalii Zanzibar (ZATO) Februari 06, 2025 walifanya ziara maalumu (Fam – Trip) katika Hifadhi ya urithi wa utamaduni wa dunia Magofu ya Kale  Kilwa Kisiwani na Songo Mnara Mkoani Lindi ikiwa ni […]

KITAIFA
February 08, 2025
73 views 2 mins 0

TAWA YAKABIDHI MADAWATI 295 KWA SHULE ZA MKOA WA SIMIYU

๐Ÿ“ Wanafunzi, Walimu waipongeza Serikali. Na  Mwandishi wetu – Simiyu SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imekabidhi madawati 295 yenye thamani ya Shillingi Millioni 25.9 Kwa shule za sekondari na msingi Mkoani Simiyu hatua inayolenga kuboresha mazingira ya elimu kwa shule zinazozunguka Pori la Akiba Maswa kama sehemu ya ujirani mwema […]

KITAIFA
January 23, 2025
87 views 2 mins 0

KISHINDO CHA RAIS SAMIA SEKTA YA UTALII CHASIKIKA KILWA

๐Ÿ“ Mataifa mbalimbali yafurika Hifadhi ya Urithi wa Dunia Kilwa Kisiwani Na Beatus Maganja, Kilwa. Kazi kubwa ya kutangaza vivutio vya utalii vya nchi yetu duniani iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kudhihirika na kishindo chake kutikisa katika Hifadhi ya Urithi wa Utamaduni wa Dunia ya […]