KITAIFA
July 19, 2024
35 views 2 mins 0

WANANCHI WATAKIWA KITUNZA NA KULINDA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Na Catherine Sungura,Chamwino Ujenzi wa barabara za Chamwino  umezingatia watembea kwa miguu na wanaofanya mazoezi Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff  amewaomba wananchi kutunza na kulinda miundombinu ya barabara ikiwemo taa za barabarani. Mhandisi Seff ametoa wito huo wakati wa ukaguzi wa barabara zilizojengwa na TARURA kwa […]

KITAIFA
April 18, 2024
125 views 3 mins 0

TARURA KUSHIRIKIANA NA WILAYA YA KINONDONI KUTUNZA MITARO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dar es Salaam Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kushirikiana na Wilaya ya Kinondoni wamekutana na kupanga mkakati wa kutunzaย  mitaro inayojengwa katika barabara Wilayani humo. Hayo yamebainishwa katika kikao cha pamoja kati ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Meneja wa TARURA Mkoa wa wa Dar es Salaam […]

KITAIFA
April 17, 2024
110 views 3 mins 0

SERIKALI KUTUMIA BILIONI 841.19 UJENZI WA BARABARA

Na. Catherine Sungura-Dodoma Katika mwaka 2024/25, Ofisi ya Rais – TAMISEMI imepanga kutumia shilingi bilioni 841.19 kwa ajili ya ujenzi, matengenezo na ukarabati wa miundombinu ya barabara za wilaya. Kati ya fedha hizo shilingi bilioni 257.03 ni za Mfuko wa Barabara, shilingi bilioni 127.50 Mfuko Mkuu wa Serikali, shilingi bilioni 325.77 ni za tozo ya […]

KITAIFA
April 04, 2024
146 views 2 mins 0

TARURA YADHAMIRIA KUIMARISHA MTANDAO WA BARABARA KWA ASILIMIA 85

Morogoro Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) ina lengo la kuhakikisha barabara zote nchini zinapitika kwa asilimia 85 ili kuinua uchumi na kuwezesha huduma za kijamii kwa wananchiย  ifikapo mwaka 2025/2026. Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff wakati wa ufunguzi wa kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa TARURA kilichofanyika […]

KITAIFA
April 02, 2024
122 views 53 secs 0

UJENZI WA BARABARA YA SANZATE -NATA WAFIKIA ASILIMIA 45

DODOMA Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi imesema inaendelea na ujenzi wa barabara ya Sanzate – Nata iliyopo Wilaya ya Serengeti mkoani Mara (km 40) kwa kiwango cha lami ambapo utekelezaji wake umefikia asilimia 45 na inatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Januari, 2025. Hayo yameelezwa Bungeni jijini Dodoma leo Tarehe 2, Aprili 2024 na Naibu Waziri wa […]

KITAIFA
March 24, 2024
116 views 4 mins 0

DARAJA LA MINYUGHE,WILAYANI IKUNGI,SINGIDA KUFUNGUA FURSA ZA KIUCHUMI

Ikungi Serikali imekamilisha ujenzi wa daraja linalounganisha Kata ya Minyughe na Makilawa, katika wilaya ya Ikungi mkoani Singida, lililokatika miaka mitatu iliyopita, na hivyo kuathiri shughuli za kiuchumi na upatikanaji wa huduma za kijamii ikiwemo afya na elimu. Kukamilika kwa daraja hilo la chuma (Mibey Bridge) lenye urefu wa mita 30 lililogharimu zaidi ya Sh. […]

KITAIFA
March 22, 2024
163 views 4 mins 0

MIRADI YA BARABARA YAFIKIA ASILIMIA 75 HALMASHAURI YA MANISPAA YA SINGIDA-TARURA

Singida Utekelezaji wa miradi ya barabara katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida upo hali nzuri kwa asilimia 75 ya miradi yote inayotekelezwa na Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA). Meneja wa TARURA Mkoa wa Singida Mhandisi Ibrahimu Kibasa amesema Manispaa hiyo ina jumla ya mtandao wa barabara wenye urefu wa Km. 523. Akizungumza […]

KITAIFA
March 17, 2024
106 views 4 mins 0

TRILIONI 2.53 YAIPAISHA TARURA NDANI YA MIAKA MITATU

*Mameya wa Ilala na Kinondoni wafurahia mradi wa DMDP* Na. Catherine Sungura, Dar es Salaam Katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, bajeti ya kuboresha miundombinu chini ya TARURA takribani Trilioni 2.53 zimepokelewa kwaajili ya uboreshaji wa miundombinu ya barabara za vijijini na mijini. […]

KITAIFA
February 24, 2024
78 views 2 mins 0

BASHUNGWA:MITAMBO YOTE NA WATAALAM WAWE ‘SITE’ NDANI YA MWEZI MMOJA – MLIMBA

Waziri waย  Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa mwezi mmoja kwa Mkandarasi wa Kampuni ya M/s Henan Highway Engineering Group Co. Ltd, inayojenga barabara ya Ifakara-Kihansi (km 124) Sehemu ya kwanza Ifakara-Mbingu (km 62.5) kwa kiwango cha lami kuhakikisha analeta mitambo yote na wataalam eneo la mradi. Waziri Bashungwa ametoa agizo hilo wilayani Mlimba mkoani Morogoro mara […]

KITAIFA
January 06, 2024
126 views 46 secs 0

USHIRIKISHWAJI VIKUNDI VYA KIJAMII KWENYE MATENGENEZO YA BARABARA ‘WAMKOSHA’MHANDISI SEFF

Mwanga Ushirikishwaji vikundi vya kijamii kwenye matengenezo ya barabara ya Kisangara kwenda Shighatini wilayani Mwanga umemfurahisha Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff. Mhandisi Seff amefanya ziara ya kikazi katika Wilaya hiyo kukagua mradi wa matengenezo katika barabara hiyo yenye urefu wa Km. 25, unaofanywa na kikundi maalum […]