KITAIFA
July 17, 2023
236 views 35 secs 0

RC Homera Amsamehe Mwalimu Haule wa Loleza.

Kufuatia tukio alililolifanya Mwalimu Sabina Haule kutoka shule ya Sekondari Loleza la kuwalaza wanafunzi Darasani na kupelekea Mkuu wa Mkoa kumuagiza Afisa Elimu kumchukulia hatua Mwalimu huyo hatimae hii leo RC Homera ametangaza kumsamehe Mwalimu huyo na kumtaka achape kazi kwa bidii na kurekebisha baadhi ya changamoto. RC Homera ametangaza msamaha huo baada ya Mwalimu […]