BIASHARA, KITAIFA
February 19, 2024
254 views 4 mins 0

TANZANIA YAENDELEZA USHIRIKIANO WAO NA MISRI KUPITIA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Uchukuzi leo imekutana jijini Dar es Salaam na Wizara ya Uchukuzi ya Misri lengo ni kuendeleza mashirikiano ya kiuchumi ya sekta ya uchukuzi kati ya nchi hizo mbili na kudumisha mahusiano mazuri yaliopo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Waziri wa Uchukuzi Prof Makame Mbarawa amesema […]